Kilimanjaro Stars yaaga rasmi CECAFA baada ya kufungwa na Rwanda goli 2-1. Hii Timu Inakera kuliko Kawaida

Usiwalaumu sana Watanganyika kwa mengi yanayotokea Zanzibar,wakuwalaumu ni wazanzibar wenyewe,mengi yanayotokea zanzibar yanasababishwa na wazanzibari wachache wenye akili ndogo ambao wametiwa kasumba na kasumba zimewaingia,wengine wanahiyari kusema bora wazanzibari wafe njaa lakini wao watawale

Waliotutawaa wamewahi kusema kuwa "Africans are very easy to be manipulated"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…