Kilimanjaro: TRA yashiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro

Kilimanjaro: TRA yashiriki zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
TRA Team Kilimanjaro Mountain.jpg

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) leo 5 Desemba, 2024 imeshiriki zoezi la kuanza kupanda mlima Kilimanjaro ambapo zoezi hilo linalenga kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika lenye kaulimbiu ya "Twenzetu Kileleni". Maafisa wa TRA nane kutoka mikoa mbalimbali nchini wanapanda mlima Kilimanjaro hadi kufikia kilele cha mlima huo wakiwa na ujumbe wa "Tuwajibike Kulipa Kodi kwa Hiari kwa Maendeleo ya Taifa". Mlima Kilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote Afrika.

TRA Team Kilimanjaro Mountain 2.jpg
 
Hao tiaraei na yale matumbo yao makubwa wataweza kufika kileleni kweli?
Maana hata kileleni hawafikagi kwa sababu ya matumbo yao
 
Back
Top Bottom