TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Watuambia wameenda kutoza nani kodi huko?Hela zetu
ENGONGA WAPE DARASA JINSI YA KUFIKAHao tiaraei na yale matumbo yao makubwa wataweza kufika kileleni kweli?
Maana hata kileleni hawafikagi kwa sababu ya matumbo yao
Zinachezewa Tu Huko MlimaniHela zetu
Hapo washaingiza faida ya 300% kwa mwaka 2024 wacha wakazitumbueWatuambia wameenda kutoza nani kodi huko?
πππππππ€£π€£π€£πWakwame huko huko
Ova
MIfukoni mwao ama fuko kuu la taifa kwa wanataifa ama fukukuu kwa wanasii hasaa au fuko kuu la wala kwa urefu wa kamba?Hapo washaingiza faida ya 300% kwa mwaka 2024 wacha wakazitumbue