Kama unataka kupanda milima,lazima uwe na afya nzuri. Pia haya mambo bora uwaachie vijana. Ukianza kusema,'' Mtoto wa miaka 15 ameweza kuupanda mlima,kwa nini mimi mwenye miaka 70 nishindwe?'',utaingia hasara. And yet ukienda Marangu kutazama records za watu wanaoupanda ule mlima,utashangaa kuona umri mkubwa wa watu wanaoupanda ule mlima. Niliona mtu mwenye miaka 72. Kumbuka maneno ya Sun Tzu. Alisema words to the effect ,kwamba,''inexperienced Generals wanapigana vita,halafu,baada ya vita,wanatizama kuona kama wameshinda;lakini experienced Generals wanashinda vita kwanza,halafu ndio wanapigana."