Elections 2010 Kilimanjaro vipi jamani?!

Mie sikubaliani kabisa na Mtangazaji wa ITV kutoka mwanga nilkuwa huko kama week tatu kumpeleka Mke wangu kuwasalimia wazazi wao.

1: barabara za mwanga mlimani(Usangi na Ugweno) ni nzima hata kama mvua imeneyesha vipi na kipindi hiki mvua hakuna kubwa sana kiasikwamba wasihesabu kura na kuzifuata.

ITV kuweni makini sana taaarifa mletewazo na hao watangazaji wenu wawe wadadisi pia kutoka kwa wasimamizi wa kura kuna maeneo mengine haiwezekani matokeo yatolewe saa 7 usiku na tumesikia ati arumeru mashariki na magharibi nao matokeo mpaka usiku saa 7. jamani mmmmh hapa mbona natia shaka kabisaa, kumbukeni tunaijua geographia jamani ya miji mingine turisha soma huko na kukaa pia

 
Kutoka Usangi na Ugweni kuja Mwanga mjini ni kama Km20 hivi. barabara inapitika kabisa, hakuna shida yoyote. isipokuwa tu wakati wa mvua barabara huwa inasumbua hasa kipande cha kuelekea Usangi.

Rombo tunakimbiza kwa mbali sana tukifuatiwa na CCM
Moshi Mjini tunaongoza katika kata zaidi ya 10
Hai tumeshachukua jimbo
 
Kutoka Usangi na Ugweni kuja Mwanga mjini ni kama Km20 hivi. barabara inapitika kabisa, hakuna shida yoyote. isipokuwa tu wakati wa mvua barabara huwa inasumbua hasa kipande cha kuelekea Usangi.

Kaka nakuambia hili ni la ukweli nilikwenda na gari ndogo zamani sana tena wakati wa mvua ikinyesha na sikuwa na tatizo kule vuagha hii majuzi 3 weekx nilikuta wanatengeneza barabara nzuri kabisa na hakuna mvua ya kuharibu barabara kaka hamini hilo, huyo mtangazaji wa ITV asiwapotezeee watu na huyo msimamizi jamani tuache longo longo km20 kweli land Cruser yaho mbona yanapanda faster tuu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…