ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
MziziMkavu!
Kilimi changu kimerefuka balaa, wananishauri kwenda kukikata lakini sina huo mpango kabisa, hapa ninakohoa balaa, plz help instaed of kukikata nitumie dawa gani?
Kilimi changu kimerefuka balaa, wananishauri kwenda kukikata lakini sina huo mpango kabisa, hapa ninakohoa balaa, plz help instaed of kukikata nitumie dawa gani?