MziziMkavu!
Kilimi changu kimerefuka balaa, wananishauri kwenda kukikata lakini sina huo mpango kabisa, hapa ninakohoa balaa, plz help instaed of kukikata nitumie dawa gani?
pole sana, ata mimi natatizo hilo kwa miaka15 sasa, nami walinishauri ivyo ivyo. ila kwa upande wangu huwa natumia dawa za kienyeji, kwasasa ni miaka miwili toka mara ya mwisho kutumia na tatizo limetulia. pia ukitumia dawa ya kikohozi ya maji kofilini pia husaidia kutuliza ndani ya miezi kadhaa.
MziziMkavu!
Kilimi changu kimerefuka balaa, wananishauri kwenda kukikata lakini sina huo mpango kabisa, hapa ninakohoa balaa, plz help instaed of kukikata nitumie dawa gani?
MziziMkavu!
Kilimi changu kimerefuka balaa, wananishauri kwenda kukikata lakini sina huo mpango kabisa, hapa ninakohoa balaa, plz help instaed of kukikata nitumie dawa gani?
Yap! Hospital nimeenda wamenipa dawa za kutuliza kikohozi
Hapo ndipo panaponiogopesha