ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa Mujibu wa Serikali,bangi ndio kilevi au dawa inayotumiwa zaidi na Watanzania..
Pia Kuna Mikoa inalima Bangi Kwa Ajili ya Kuuza Nje ya Nchi ukiacha Mikoa inayolima kwa.matumizi ya ndani licha ya kuharamishwa.
Ramani hii hapa inaonesha Mikoa maarifu ya Kilimo Cha Bangi kibiashara Kwa Ajili ya Kuuza Nje ya Nchi ambayo ni Arusha, Mara, Manyara, Morogoro na Iringa.
Pia Kuna Mikoa inalima Bangi Kwa Ajili ya Kuuza Nje ya Nchi ukiacha Mikoa inayolima kwa.matumizi ya ndani licha ya kuharamishwa.
Ramani hii hapa inaonesha Mikoa maarifu ya Kilimo Cha Bangi kibiashara Kwa Ajili ya Kuuza Nje ya Nchi ambayo ni Arusha, Mara, Manyara, Morogoro na Iringa.