Kilimo cha bustani

Kilimo cha bustani

Bilulu II

Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
58
Reaction score
6
Hivi ni kwel kilimo cha bustani kinaweza kumtoa Mtanzania katika umaskini?? Ni juhud gani zinafanywa na serikali kumkomboa mtanzania anaejishughulisha na kilimo biashara????
 
Dah we aisee unaishi dunia ya wapi man? Haya bana lima malimao yanalipa sana maana walevi wanapenda kuyamix na supu
 
Dah we aisee unaishi dunia ya wapi man? Haya bana lima malimao yanalipa sana maana walevi wanapenda kuyamix na supu
So kilimo hakina ishu kwa mtazamo wako??? Kilimo cha bustan haimanish malimao tu kaka. Kuna matunda mboga n.k ww hapo unenda choon kwa ajir ya chakula kinacholimwa au unakula mawe??



Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom