Hivi ni kwel kilimo cha bustani kinaweza kumtoa Mtanzania katika umaskini?? Ni juhud gani zinafanywa na serikali kumkomboa mtanzania anaejishughulisha na kilimo biashara????
So kilimo hakina ishu kwa mtazamo wako??? Kilimo cha bustan haimanish malimao tu kaka. Kuna matunda mboga n.k ww hapo unenda choon kwa ajir ya chakula kinacholimwa au unakula mawe??