Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 147
Cacao inalimwa sana Lushoto. Hata mbegu za west Africa walipata kutoka EAst Africa.
Nenda Wizara ya Kilimo utapata taarifa za kutosha
Chocolate hailimwi; ni cacao iliyokuwa COCOA na ikaongezwa thamani ikawa chokoleti, pipi etc
Ahsante mkuu
Habari wana JF, Hongereni wajasiamali/wakulima
Nisiwachoshe jamani, mimi nilitaka kujua au kupata taarifa juu ya kilimo cha cocoa..
Wapi nchini kwetu kinaweza kulimwa pamoja na tarifa zingine.