Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Wadau Nawasalimu.
Bila kuyatatua Matatizo yanayoikabili Sekta ya Kilimo kwa Miaka 60 iliyopita HAKUNA MAJABU tutakayofanya kwa KILIMO Chetu Tutakuwa TUNADANGANYANA.
KILIMO cha Tanzania bado ni cha Kizamani sana.Huwezi kufanya Mapinduzi ya Kilimo kama Kilimo chenyewe ni Cha JEMBE LA MKONO
Hakuna MBOLEA MADAWA na MASOKO na Kinategemea MVUA. Asilimia 90 ya Wakulima wa Tanzania Wanalima KILIMO cha JEMBE la MKONO wanategemea Mvua ambayo hawana Uhakika nayo Hawana uwezo wa kununua Mbolea na Madawa na Mwisho hawana Masoko kwa Mazao yao.
Bila kuyatatua Matatizo yanayoikabili Sekta ya Kilimo kwa Miaka 60 iliyopita HAKUNA MAJABU tutakayofanya kwa KILIMO Chetu Tutakuwa TUNADANGANYANA.
KILIMO cha Tanzania bado ni cha Kizamani sana.Huwezi kufanya Mapinduzi ya Kilimo kama Kilimo chenyewe ni Cha JEMBE LA MKONO
Hakuna MBOLEA MADAWA na MASOKO na Kinategemea MVUA. Asilimia 90 ya Wakulima wa Tanzania Wanalima KILIMO cha JEMBE la MKONO wanategemea Mvua ambayo hawana Uhakika nayo Hawana uwezo wa kununua Mbolea na Madawa na Mwisho hawana Masoko kwa Mazao yao.