Kilimo cha jembe la mkono kwa Nchi ya Uchumi wa Kati

Kilimo cha jembe la mkono kwa Nchi ya Uchumi wa Kati

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Tanzania ni nchi huru kwa miaka 61 sasa.Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kuwa na raslimali nyingi kila mkoa

Tanzania ni nchi yenye ardhi nzuri kwa kilimo mito mabwawa maziwa na bahari.

Tanzania ni nchi yenye misitu

Tanzania ni nchi yenye mifugo mingi na wanyamapori wengi

Tanzania ni nchi yenye kila kitu ina watu mil.60 ambao asilimia 65 ni vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa

Tanzania ni nchi yenye uchumi wa kati

Lakini pamoja na yote hayo

Tanzania ni nchi yenye watu masikini sana mlo wao ni mmoja kwa siku.

Umasikini wao bado unawafanya kilimo

Chao kuendelea kuwa cha jembe la mkono mpaka leo

Je, Watanzania tunakwama wapi?

Kwanini tununue ma v8 badala ya matreka na kuyatawanya vijijini?

Je, tatizo la umaskini wa tanzania na watu wake nani anasababisha?

Je, ni siasa?

Je, ni uongozi?

Je, ni Wananchi ?
 
Wazungu
Tanzania ni nchi huru kwa miaka 61 sasa.Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kuwa na raslimali nyingi kila mkoa

Tanzania ni nchi yenye ardhi nzuri kwa kilimo mito mabwawa maziwa na bahari

Tanzania ni nchi yenye misitu

Tanzania ni nchi yenye mifugo mingi na wanyamapori wengi

Tanzania ni nchi yenye kila kitu ina watu mil.60 ambao asilimia 65 ni vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa

Tanzania ni nchi yenye uchumi wa kati

Lakini pamoja na yote hayo

Tanzania ni nchi yenye watu masikini sana mlo wao ni mmoja kwa siku.
Umetoa wapi haya? Mlo mmoja?
Umasikini wao bado unawafanya kilimo

Chao kuendelea kuwa cha jembe la mkono mpaka leo

Je, Watanzania tunakwama wapi?
Hatujakwama
Kwanini tununue ma v8 badala ya matreka na kuyatawanya vijijini?
Wewe na nani hao? "
Je, tatizo la umaskini wa tanzania na watu wake nani anasababisha?
Wazungu???
Je, ni siasa?
Hapana
Je, ni uongozi?
Hapana
Je, ni Wananchi ?
Hapana
 
Back
Top Bottom