Habari za uku wakulima wenzangu naombeni msaada haswa wa Mambo mawili
1.ardhi
Hivi ni njia gani mtu unaweza milikishwa ardhi ambayo no mapori bado na kuianzisha kwaajil ya kilimo
2.Masoko
Ni njia zipi watu wanatumia kutafutia masoko ya uko ughaibuni na wanayapataje?
Naombaa kuwasilisha kwenu asanteni
1.ardhi
Hivi ni njia gani mtu unaweza milikishwa ardhi ambayo no mapori bado na kuianzisha kwaajil ya kilimo
2.Masoko
Ni njia zipi watu wanatumia kutafutia masoko ya uko ughaibuni na wanayapataje?
Naombaa kuwasilisha kwenu asanteni