Manayara sio eneo sahihi la kilimo cha korosho comercialy, Pia kuna gaida ya Mashamba kuwa eneo moja, mfani kule Lindi ja Mtarwa, Sasa ulimr mwenyewe korosho than mtaja afunge safari kuja kuchukua korosho zake mwenyewe?
Mfani Alzet Singida ni nyingi sana au Babayi huko Mnayara hivyo ina vutia wanunuzi wengi sana, nenda huko Mara nilikuta wana force kulima alzet na hata wateja hakuna inabidi wakamue wenyewe,