Kilimo cha kumwagilia kwa njia ya matone

Kilimo cha kumwagilia kwa njia ya matone

BALIKUMI

Member
Joined
Mar 13, 2015
Posts
30
Reaction score
9
Jamani wana Jukwaa la Kilimo nahitaji kujua inakosti kiasi gani kufungiwa hii mipira kwenye shamba la nusu heka? Na je, nawapateje wanao funga ile mipira?
 
Okay kwa ushauri wa Bure nenda Instagram alafu tafuta greenhousetz itakuja alafu wacheki hao jamaa watakusaidia.
 
Jamani wana Jukwaa la Kilimo nahitaji kujua inakosti kiasi gani kufungiwa hii mipira kwenye shamba la nusu heka? Na je, nawapateje wanao funga ile mipira?
Gharama hutofautiana kulingana na zao ila kwa maongezi zaidi karibuAgroprojects ltd au inbox me
 
Jamani wana Jukwaa la Kilimo nahitaji kujua inakosti kiasi gani kufungiwa hii mipira kwenye shamba la nusu heka? Na je, nawapateje wanao funga ile mipira?

Iko hivi boss,Hapa inategemea na unataka mfumo kwa ajili ya umwagiliaji wa zao gani.Mfano kwa gharama za kufunga mfumo huu kwa kilimo cha zao kama papai ni tofauti na gharama za kufunga mfumo huu kwa mazao ya mboga mboga kama nyanya,matango,hoho n.k kwani mazao haya hutumia mfumo wa umwagiliaji kwa njia ya matone lakini mfumo hutumia vifaa tofauti kulingana na utofauti wa mahitaji ya kiwango cha maji kwa zao la papai na mazao haya ya mbogamboga. Sisi AGRILA FARMING CO LTD tunafunga kwa gharama ya 1,350,000/=Tsh kwa nusu eka(Drip kwa umwagiliaji wa mazao ya mbogamboga) hii ikihusisha vifaa vyote Driplines,Filter,bomba,connectors pamoja na ufundi.Ila utatakiwa kutuandalia tank la lita 2000 na stand ya tank yenye urefu wa mita 2.5.Unaweza kujifunza mengi katika uzi huu Irrigation
Kwa ushauri au Maswali unaweza kuwasiliana na Mhandisi wetu wa kilimo Eng.Joseph O Mlang’a kwa simu namba 0752022108.Karibu kwa swali lolote nitakujibu hapa hapa kwa faida ya wengine pia.
 
Iko hivi boss,Hapa inategemea na unataka mfumo kwa ajili ya umwagiliaji wa zao gani.Mfano kwa gharama za kufunga mfumo huu kwa kilimo cha zao kama papai ni tofauti na gharama za kufunga mfumo huu kwa mazao ya mboga mboga kama nyanya,matango,hoho n.k kwani mazao haya hutumia mfumo wa umwagiliaji kwa njia ya matone lakini mfumo hutumia vifaa tofauti kulingana na utofauti wa mahitaji ya kiwango cha maji kwa zao la papai na mazao haya ya mbogamboga. Sisi AGRILA FARMING CO LTD tunafunga kwa gharama ya 1,350,000/=Tsh kwa nusu eka(Drip kwa umwagiliaji wa mazao ya mbogamboga) hii ikihusisha vifaa vyote Driplines,Filter,bomba,connectors pamoja na ufundi.Ila utatakiwa kutuandalia tank la lita 2000 na stand ya tank yenye urefu wa mita 2.5.Unaweza kujifunza mengi katika uzi huu Irrigation
Kwa ushauri au Maswali unaweza kuwasiliana na Mhandisi wetu wa kilimo Eng.Joseph O Mlang’a kwa simu namba 0752022108.Karibu kwa swali lolote nitakujibu hapa hapa kwa faida ya wengine pia.
Kwa maelezo hayo, hizo gharama ulizotoa ni pamoja na gharama za usafiri wa kuja site?
 
Back
Top Bottom