Mancobra
Member
- May 31, 2021
- 54
- 95
Mambo vipi wadau wa maendeleo, natumai wote Ni wazima wa afya Kama kati yetu kuna mgonjwa naomba Mungu akupe wepes Mambo yawe vizuri.
I hope Kila mtu anajua kilimo ndo uti wa mgongo kwa uchumi wa waTz walio wengi(even me) na taifa kwa ujumla. Mazngira ya kilimo hapa bongo kwa wakulima wengi Ni kilimo kidogo (small scale agriculture) yani hapa mkulima analima kipande kidogo Cha ardhi kwa kutumia jembe la mkono(wengne plau) na kutegemea mvua za msimu Kama chanzo Cha maji kwa mazao yake
Mada yangu inajikita kwenye utegemezi wa mvua kwa wakulima Kama chanzo Cha maji. (Hapa kuna wale wanaolima mazao ya bustanin kama nyanya, mchicha,spinach n.k, Hawa siwazungumzii coz hufanya kilimo cha umwagiliaji japo hua Ni small scale agriculture).
Sasa basi, leo dunian tunashuhudia mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoambatana na kubadilika kwa misimu ya mvua; unaweza kuta msimu unachelewa na kusababisha ukame au unawahi na kuchelewa kuisha na kusababisha mafuriko. Hivyo vyote sio rafiki kwa mkulima anayetegemea mvua za msimu. Moja kwa moja tunaona kilimo cha umwagiliaji ndo mbadala wa mabadiliko ya tabia ya nchi. Lakin kabla ya kufikiria kilimo cha umwagiliaji kuna sababu mbalimbali znazomkwamisha huyu mkulima mdogo asiweze kufanya aina hii kilimo(kilimo cha umwagiliaji);
I hope Kila mtu anajua kilimo ndo uti wa mgongo kwa uchumi wa waTz walio wengi(even me) na taifa kwa ujumla. Mazngira ya kilimo hapa bongo kwa wakulima wengi Ni kilimo kidogo (small scale agriculture) yani hapa mkulima analima kipande kidogo Cha ardhi kwa kutumia jembe la mkono(wengne plau) na kutegemea mvua za msimu Kama chanzo Cha maji kwa mazao yake
Mada yangu inajikita kwenye utegemezi wa mvua kwa wakulima Kama chanzo Cha maji. (Hapa kuna wale wanaolima mazao ya bustanin kama nyanya, mchicha,spinach n.k, Hawa siwazungumzii coz hufanya kilimo cha umwagiliaji japo hua Ni small scale agriculture).
Sasa basi, leo dunian tunashuhudia mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoambatana na kubadilika kwa misimu ya mvua; unaweza kuta msimu unachelewa na kusababisha ukame au unawahi na kuchelewa kuisha na kusababisha mafuriko. Hivyo vyote sio rafiki kwa mkulima anayetegemea mvua za msimu. Moja kwa moja tunaona kilimo cha umwagiliaji ndo mbadala wa mabadiliko ya tabia ya nchi. Lakin kabla ya kufikiria kilimo cha umwagiliaji kuna sababu mbalimbali znazomkwamisha huyu mkulima mdogo asiweze kufanya aina hii kilimo(kilimo cha umwagiliaji);
- Gharama za uendeshaji wa kilimo cha umwagiliaji. Iko wazi kumwagilia inahitaji pesa za kununua machine za umwagiliaji
- Aina ya mazao: kuna baadhi ya mazao ukisema unamwagilia Ni kama kichekesho, mfano, mihogo
- Uhaba wa vyanzo vya maji karibu na mashamba.
Hivyo basi wadau, Nini kifanyike ili mkulima asiyemudu gharama za kuendesha kilimo cha umwagiliaji apate faida ya kilimo chake kwenye Zama hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi?
Karibuni kwa mawazo yakinifu.
Karibuni kwa mawazo yakinifu.