Labile
Member
- Dec 9, 2016
- 58
- 63
Kulingana na gharama za sasa za mbegu na mbolea, naomba analyst mmoja ambae ana uzoefu shambani anisaidie simple estimation ya hizi:
A. Je, mbolea ninazotakiwa kutumia ni zipi na kwa kiasi gani?
B. Mbegu unashauri ipi na kwa hekari 10 nitatumia kilo ngapi? (Nalima wilaya ya Serengeti mara)
C. Je, kuna kiua gugu ambacho ukitumia hautokuwa na haja ya kupalilia kabisa?
Kama una comment ya ziada nje ya hayo niliyoomba msaada pia karibu. Nafuatilia kwa ukaribu ili kupata ABCD.
A. Je, mbolea ninazotakiwa kutumia ni zipi na kwa kiasi gani?
B. Mbegu unashauri ipi na kwa hekari 10 nitatumia kilo ngapi? (Nalima wilaya ya Serengeti mara)
C. Je, kuna kiua gugu ambacho ukitumia hautokuwa na haja ya kupalilia kabisa?
Kama una comment ya ziada nje ya hayo niliyoomba msaada pia karibu. Nafuatilia kwa ukaribu ili kupata ABCD.