contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
Naomba msaada kwenye hizi sekta mbili, ninataka kuendeleza mradi wa ufugaji wa samaki, nahitaji mafunzo yatakayonisaidia kuendeleza huu ufugaji, pia nataka kuanza shamba la mipapai, naombeni uzoefu kwa anayefahamu.
Shukrani sana
Shukrani sana