Kilimo Cha mbaazi

Kilimo Cha mbaazi

dachinemba

Member
Joined
Nov 15, 2020
Posts
6
Reaction score
6
Habar zenu huko mliko,
-Nahitaji kujua namna ya kulima mbaazi yaani upandaji, mavuno kwa kila heka pamoja na changamoto zake.
-kiasi Cha mbegu kinacho hitajika kwa heka moja.
-Muda katika uvunaji wake
  • Mbegu Bora za kisasa na upatikanaji wake, kwa mwenye kujua pia mawasiliano
  • je mbali na mahindi, mbaazi unaweza changanya na mazao gani?
  • soko lake linalipa?
MSAADA TAFADHALI.
FB_IMG_16342262233993728.jpg
 
Kwa navyofahamu Mimi mbegu za mbaaz hauhtaj kuhangaika kutafuta za kisasa tumia hizi zinazopatikana kwa wakulima na kiasi kinachohitajika kwenye heka km utachanganya na mahindi ni kilo 3kg. Natumai nimejbu
 
Kwa navyofahamu Mimi mbegu za mbaaz hauhtaj kuhangaika kutafuta za kisasa tumia hizi zinazopatikana kwa wakulima na kiasi kinachohitajika kwenye heka km utachanganya na mahindi ni kilo 3kg. Natumai nimejbu
Ahsante! Ila ujanijibu kwa usahihi saabu mbegu zake pia hutofautiana kwa Muda wa kupanda Hadi mavuno mkuu
 
Back
Top Bottom