Kilimo cha mbogamboga

mutu ya watu

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2010
Posts
213
Reaction score
41
Wana JF habarin! polen na majukumu,

kwa kifupi mimi nina wazo la kujiajiri kwenye kilimo cha mboga mboga kwa umwagiliaji maeneo jirani na DSM,
kwa yeyote nahitaji ushauri ni yapi maeneo yanafaa kwa umwagiliaji anijuze mara moja
kila la kheri
 
Mandela rd maeneo ya mwananchi au nyuma yake kidogo kama sikosei,pale kulia bondeni huwa naona kuna jamaa wanapiga kazi hizo.
Pia Mwai Kibaki rd mbele kidogo ya Bunju B.
By the way hongera kwa kuwa na wazo la ujasiriamali!
 
Wana JF habarin! polen na majukumu,

kwa kifupi mimi nina wazo la kujiajiri kwenye kilimo cha mboga mboga kwa umwagiliaji maeneo jirani na DSM,
kwa yeyote nahitaji ushauri ni yapi maeneo yanafaa kwa umwagiliaji anijuze mara moja
kila la kheri

Mutu mimi sina wazo la wapi hili linaweza kufanyika ila kilichonifanya nicomment ni namna ambavyo ni jana tu nilikuwa naongea na mtu kuhusu wazo la kufanya ujasiriamali wa aina hasa baada ya kujua kwamba kumbe mboga nyingi za mjini hapa zinatoka Singida na Dodoma. Nitajaribu kufanay kajiutafiti kadogo kuhusu hili then nitashare na wewe ili tuone namna ya kumove forward.
 

ok, shukrani bila shaka baada ya kumaliza utafifit utanijuza, kila la kheri
 
Mandela rd maeneo ya mwananchi au nyuma yake kidogo kama sikosei,pale kulia bondeni huwa naona kuna jamaa wanapiga kazi hizo.
Pia Mwai Kibaki rd mbele kidogo ya Bunju B.
By the way hongera kwa kuwa na wazo la ujasiriamali!

Ahsante kwa kunijuza rafiki
 

thats gud

nataman nkup, kdg japo tutete kwa urefu abt t
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…