Umeanza lini kuwa motivesheno spika?Jirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.
Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.
Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.
Safi kabisa ni sehemu gani ,magunia mangapi alipata ,ulimaji wa muhogo unachukiwa miezi mingapi ,tuonyeshe hiyo mbegu ya kikombe.Jirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.
Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.
Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.
Sehemu ni Kibaha na mbegu aliyopanda inaitwa kikombe. Mihogo inachukua miezi sita kupanda mpaka kula.Safi kabisa ni sehemu gani ,magunia mangapi alipata ,ulimaji wa muhogo unachukiwa miezi mingapi ,tuonyeshe hiyo mbegu ya kikombe.
Mbegu tunapata wapi?Sehemu ni Kibaha na mbegu aliyopanda inaitwa kikombe. Mihogo inachukua miezi sita kupanda mpaka kula.
Duuuh, mihogo kwenye kiwanja imetoa laki 8!! Huku Mbeya mihogo ya hiyo pesa unaweza kujaza hata gari kubwa.Jirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.
Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.
Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.
Za kuambiwa changanya na za kwakoDuuuh, mihogo kwenye kiwanja imetoa laki 8!! Huku Mbeya mihogo ya hiyo pesa unaweza kujaza hata gari kubwa.
Yawezekana ni Yale maviwanja ya mita 50*200Za kuambiwa changanya na za kwako
Sio hata viwanja. Lima hata uwanja wa mpira mzima alafu tafuta mteja akupe laki nane uone kwanini wakulima nchini ni maskiniYawezekana ni Yale maviwanja ya mita 50*200
Wapi huko mkuuJirani yangu tumepakana viwanja, aliamua kupanda mihogo kwenye kiwanja chake akivuta nguvu ya kujenga. Akitafuta mbegu inaitwa kikombe.
Juzi alipata mnunuzi aliyetaka Kuip ja kwanza. Alichimbiwa shina moja akaondoka. Alipoonja mihogo na kuridhika alirudi na kununua mihogo yote kwa laki nane.
Jirani alimlipa mkulima 70,000 kulima na kupanda na palizi ilikua 45,000. Jana ananiambia laki tano ananunua matofali.