Wana JF mimi ni mwalimu in profession but kwa huu mshahara wa laki 4 nadhani kutoka ni ndoto.
Katika tasmini zangu nimegundua kilimo cha miti kinalipa sana na watu huku kwe2 wanao miliki misitu ndo matajiri wakubwa.
Kwa sasa nshapanda hekari 10 na Mungu akijaalia ntapanda zaidi kwa sababu inalipa tena kwa gharama ndogo kabisa.
Mfano: Ukinunua shamba la Hekari 1 = 100,000/= na ukapanda Miti aina ya Milingoti inaingia miti 1,000 kwa hekari 1, kila mche wa mti unauzwa Tsh 100 x 1,000 miche = 100,000/=. Wapandaji utawalipa Tsh 25,000/=
Jumla = Tsh 225,000/= kwa hekari moja.
Na kila mwaka uwe na kiasi kidogo cha kuwalipa watu wanaokuwekea fire line ama unaweza komaa mwenyewe.
Miti hiyo utaivuna baada ya miaka 10 Mungu akijaalia, ikiwa tayari miti ya nguzo za umeme na kila mti mmoja utauza Tsh 30,000/= mpaka Tsh 35,000/=
Kwa hiyo ukizidisha mara hiyo miti 1000 ya hekari moja utapata = Tsh 30,000,000/=.
Na kwa miti ya milingoti ina tabia ukivuna inachipua tena na tena maisha yako yote hutopanda tena ila ni kuiplun, kuweka fire line na kuvuna tu
Je ukiwa na heka zaidi ya moja utakuwa wapi baada ya hyo miaka?
Kijana mwenzangu changamka Miaka 10 sio mingi kama tunavyodhani.
Katika tasmini zangu nimegundua kilimo cha miti kinalipa sana na watu huku kwe2 wanao miliki misitu ndo matajiri wakubwa.
Kwa sasa nshapanda hekari 10 na Mungu akijaalia ntapanda zaidi kwa sababu inalipa tena kwa gharama ndogo kabisa.
Mfano: Ukinunua shamba la Hekari 1 = 100,000/= na ukapanda Miti aina ya Milingoti inaingia miti 1,000 kwa hekari 1, kila mche wa mti unauzwa Tsh 100 x 1,000 miche = 100,000/=. Wapandaji utawalipa Tsh 25,000/=
Jumla = Tsh 225,000/= kwa hekari moja.
Na kila mwaka uwe na kiasi kidogo cha kuwalipa watu wanaokuwekea fire line ama unaweza komaa mwenyewe.
Miti hiyo utaivuna baada ya miaka 10 Mungu akijaalia, ikiwa tayari miti ya nguzo za umeme na kila mti mmoja utauza Tsh 30,000/= mpaka Tsh 35,000/=
Kwa hiyo ukizidisha mara hiyo miti 1000 ya hekari moja utapata = Tsh 30,000,000/=.
Na kwa miti ya milingoti ina tabia ukivuna inachipua tena na tena maisha yako yote hutopanda tena ila ni kuiplun, kuweka fire line na kuvuna tu
Je ukiwa na heka zaidi ya moja utakuwa wapi baada ya hyo miaka?
Kijana mwenzangu changamka Miaka 10 sio mingi kama tunavyodhani.