GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nimefanikiwa kupata ardhi yenye ukubwa wa ekari 200. Ni eneo ambalo bado ni pori. Huenda halijawahi kulimwa tokea liwepo, pengine.
Kwa kuwa ni eneo kubwa, ninakusudia kulifanyia kazi taratibu, kwa kadiri nitakavyokuwa nikipata nguvu (kifedha).
Kwa kuwa eneo lina miti mingi, nitafanya utaratibu wa kuvuna mkaa na hela itakayopatikana nitatumia kuliendeleza hilo shamba. Ninataka kuligawa shamba sehemu mbili kama ifuatavyo:
1. Ekari 100 - Kilimo cha miti
2. Ekari zilizobaki kilimo cha mazao ya chakula/biashara
Kwenye kilimo cha miti, nimechagua kulima aina tatu za miti:
(A). Mitiki ekari 40
(B). Pine ekari 30
(C). Mikaratusi ekari 30
Kwa wazoefu, gharama nitakazotumia kuzihudumia ekari 100 za miti zitaweza kurudi?
Najua si uwekezaji wa kutarajia mavuno kwa miaka ya hivi karibuni, lakini endapo zitahudumiwa vizuri, zinaweza kuja kurudisha gharama na pia kupata faida baada ya miaka kumi?
Mbegu nitaandaa mwenyewe ili kupunguza gharama.
🙏🙏🙏
Kwa kuwa ni eneo kubwa, ninakusudia kulifanyia kazi taratibu, kwa kadiri nitakavyokuwa nikipata nguvu (kifedha).
Kwa kuwa eneo lina miti mingi, nitafanya utaratibu wa kuvuna mkaa na hela itakayopatikana nitatumia kuliendeleza hilo shamba. Ninataka kuligawa shamba sehemu mbili kama ifuatavyo:
1. Ekari 100 - Kilimo cha miti
2. Ekari zilizobaki kilimo cha mazao ya chakula/biashara
Kwenye kilimo cha miti, nimechagua kulima aina tatu za miti:
(A). Mitiki ekari 40
(B). Pine ekari 30
(C). Mikaratusi ekari 30
Kwa wazoefu, gharama nitakazotumia kuzihudumia ekari 100 za miti zitaweza kurudi?
Najua si uwekezaji wa kutarajia mavuno kwa miaka ya hivi karibuni, lakini endapo zitahudumiwa vizuri, zinaweza kuja kurudisha gharama na pia kupata faida baada ya miaka kumi?
Mbegu nitaandaa mwenyewe ili kupunguza gharama.
🙏🙏🙏