Mkuu uponl sawa.Ila ukilima sehemu kubwa jiandae kutafuta sok la nje au usindike jwisi.Maembe huiva kwa pamoja na Tanzania sehemu kubwa kuna maembe yanayojiotea otea tu.Tandika msimu wa maembe sindano unaweza jaza debe kwa buku.Kyela,Tabora nk huko maembe hujismdondekea tu, pwani ndio usiseme.Kwa hio jiandae namna ya kuuza sio kulima tu.