Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

Mnaotaka kupanda miti ya mbao, mitiki, mikangazi au misederea na mingineyo. Msipande chini ya nafasi ya mita 3 kwa 3. Chini ya hapo miti haitonenepa labda kama mnataka kwa ajili ya biashara ya mirunda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa anayehitaji Sungura Newzealand Rabbit na Dutch mixed breed kwa bei poa tu

#Inbox for more info
 
Naomba mawasiliano yako na pia nataka kujua kama unaweza kuniletea mbegu mkoa wa Lindi wilaya ya Liwale
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu bado upo hai na ulifanikiwa kupanda by that time 2014
 
Miche inapatikana kwa shilingi 400 tu.
Tunapatikana Tumbi Kibaha.
0766006128
0783579456
 
Hivi mitiki inafaa kupandia mbolea ya kuku??
 
Huu Uzi ni wa 2010 naona mwenye Uzi arakuwa anakaribia umilionea kama alipamda.Mi nilipanda pien 2015.2018 ikaungua yote nikaambulia majivu.
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Miche inapatikana kwa gharama ya shilingi 400 tu.
Tunapatikana Tumbi kibaha.
0766006128
0783579456
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…