Kilimo cha mizeituni na soko lake

Kilimo cha mizeituni na soko lake

abcde

Member
Joined
Jan 18, 2012
Posts
38
Reaction score
5
Habari wadau! Nimejaribu kufuatilia kuhusiana na kilimo cha mizeituni, naona ni kama hakifanyiki kwa Tanzania, kwa mwenye ufahamu kuhusiana na kilimo hiki na soko lake Tanzania na Afrika Mashariki naomba tusaidiane mawazo.
 
Msubii kada wa chama mheshimiwa Narubongo aje ndo ana info za Mizeituni
 
Hebu Malila tujuze hili.....nilifika nchi moja mashariki ya kati hili ndio zao lao kuu!
 
Last edited by a moderator:
Hebu Malila tujuze hili.....nilifika nchi moja mashariki ya kati hili ndio zao lao kuu!

Nimefuatilia sana hili zao hapa Tanganyika, wote wameotesha kama mapambo, ila wenzetu hapo jirani wamelima kwa kumaanisha. Ukianza kulima zao hili inabidi ulime kwa scale kubwa, ni kama ilivyo kwa karanga miti, hapa bongo hazitiliwi maanani kabisa ila zinalipa vizuri. Ukienda Saharani Tanga mission kuna kilimo hiki tangu 1946, Karanga miti a.k.a macadamia humea pia Mby na kwingineko.

Kule nchi za middle east, hasa Israel, kuna kuna mizeituni balaa. Mafuta ya mzeituni ni biashara kubwa sana. pale SUA ktk kitalu cha jamaa miche ipo na inanunuliwa,ila hakuna mashamba ya mfano ya mazao haya mawili.
 
Nimefuatilia sana hili zao hapa Tanganyika, wote wameotesha kama mapambo, ila wenzetu hapo jirani wamelima kwa kumaanisha. Ukianza kulima zao hili inabidi ulime kwa scale kubwa, ni kama ilivyo kwa karanga miti, hapa bongo hazitiliwi maanani kabisa ila zinalipa vizuri. Ukienda Saharani Tanga mission kuna kilimo hiki tangu 1946, Karanga miti a.k.a macadamia humea pia Mby na kwingineko.

Kule nchi za middle east, hasa Israel, kuna kuna mizeituni balaa. Mafuta ya mzeituni ni biashara kubwa sana. pale SUA ktk kitalu cha jamaa miche ipo na inanunuliwa,ila hakuna mashamba ya mfano ya mazao haya mawili.

Mkuu Malila unaweza kunishauri kuhusu kilimo cha mti wa Mvuje?
 
Last edited by a moderator:
Nimefuatilia sana hili zao hapa Tanganyika, wote wameotesha kama mapambo, ila wenzetu hapo jirani wamelima kwa kumaanisha. Ukianza kulima zao hili inabidi ulime kwa scale kubwa, ni kama ilivyo kwa karanga miti, hapa bongo hazitiliwi maanani kabisa ila zinalipa vizuri. Ukienda Saharani Tanga mission kuna kilimo hiki tangu 1946, Karanga miti a.k.a macadamia humea pia Mby na kwingineko.

Kule nchi za middle east, hasa Israel, kuna kuna mizeituni balaa. Mafuta ya mzeituni ni biashara kubwa sana. pale SUA ktk kitalu cha jamaa miche ipo na inanunuliwa,ila hakuna mashamba ya mfano ya mazao haya mawili.

Nimefuatilia kwa msaada wa rafiki yangu ambaye tunataka tufanye kilimo hiki in large scale, zao hili linalimwa sana India,nashukuru kwa taarifa, nitafuatilia SUA nijue location kwa Tanzania ya zao hili.
 
Back
Top Bottom