Kilimo cha mpunga Mbeya

chapashoka

Member
Joined
Mar 9, 2017
Posts
19
Reaction score
5
Habarini?
Naomba kufahamu ni sehemu gani Mbeya wanapo Fanya kilimo cha mpunga kwa kumwagilia bila kutegemea mvua, anaefahamu naomba anijuze nikijua hadi kijiji itanisaidia zaidi.
 
Kwa juu juu kuna sehemu inaitwa Kapunga hii ni karibia na Chimala huku kuna sehemu wanaita Kapunga Rice Project kama sikosei then kuna Mbarali.
 
Panda basi la mbeya, shuka sehemu inaitwa igawa then panda basi la ubaruku waambie unaenda mbarali rice farm au highland estates. Huko ndipo anapolima masanja mkandamizaji.

Shamba la pili ni kituo baada ya igawa ukiwa katika highway shuka chimala then ulizia shamba la kapunga.
 
Gharama za kukodi mashamba huko ni kubwa sana mkuu ?
 
Tembelea busokelo district+lufilyo ward+kifunda village
WHY??
1.irrigation scheme exists
2.low highering cost of land
3.low population of active farmers
4.accesbillity
5.high potentiality of extension officer
6.wide spectrum of crop cultivation
 
Tembelea busokelo district+lufilyo ward+kifunda village
WHY??
1.irrigation scheme exists
2.low highering cost of land
3.low population of active farmers
4.accesbillity
5.high potentiality of extension officer
6.wide spectrum of crop cultivation
Gharama ya kukodi na kulima kama acre moja inaweza kuwa kiasi gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…