M mnono Member Joined Jun 27, 2016 Posts 37 Reaction score 19 Oct 25, 2018 #1 Ndugu wanajanvi, nahitaji kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji, naomba mwenye habari za kilimo hicho ikiwa ni pamoja na jinsi ya kupata mashamba, gharama za ukodishaji, gharama za kilimo na soko kama zinapatikana nitashukuru sana. Aksanteni.
Ndugu wanajanvi, nahitaji kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji, naomba mwenye habari za kilimo hicho ikiwa ni pamoja na jinsi ya kupata mashamba, gharama za ukodishaji, gharama za kilimo na soko kama zinapatikana nitashukuru sana. Aksanteni.
Mogan Mogan JF-Expert Member Joined Jul 6, 2015 Posts 203 Reaction score 144 Oct 25, 2018 #2 Kuna rafiki yangu anaweza kukusaidia kupata taarifa unazozihitaji. Nitakutumia namba zake za simu pm.
Kuna rafiki yangu anaweza kukusaidia kupata taarifa unazozihitaji. Nitakutumia namba zake za simu pm.
M mnono Member Joined Jun 27, 2016 Posts 37 Reaction score 19 Oct 25, 2018 Thread starter #3 Aksante sana nitashukuru
falcon mombasa JF-Expert Member Joined Mar 5, 2015 Posts 9,189 Reaction score 9,299 Oct 25, 2018 #4 Wajasiriamali
Mogan Mogan JF-Expert Member Joined Jul 6, 2015 Posts 203 Reaction score 144 Oct 25, 2018 #5 mnono said: Aksante sana nitashukuru Click to expand... Tayari nimekutumia
S Suleiman755 JF-Expert Member Joined Apr 1, 2018 Posts 274 Reaction score 208 Nov 19, 2018 #6 Mogan Mogan said: Tayari nimekutumia Click to expand... Nami nahitaji kuifahamu hiyo fursa tafadhali.
Mogan Mogan said: Tayari nimekutumia Click to expand... Nami nahitaji kuifahamu hiyo fursa tafadhali.