Kilimo cha Mpunga

Kilimo cha Mpunga

Gabi247

Member
Joined
Jun 14, 2017
Posts
21
Reaction score
23
Wakuu poleni na majukumu nina shida moja nahitaji msaada kidogo kuhusu taarifa au mtu yeyote ambae ameshawai kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji katika mikoa ya Morogoro na Mbeya
1.Kianzio au mtaji kima cha chini
2.muda mzuri wa kulima
3.mbegu aina gani kutokana na msimu
4.changamoto zake (Common challenges)
ushauri na ni vitu gani vya kuzingatia hasa kwa mtu ambae hajawai kabisa kulima zao hilo no vitu gani lazima awe navyo na awe tayari kukabiliana navyo natamani sana kuingia kwenye zao hilo lakini changamoto niliyo nayo ni kuhusu taarifa sahihi kabla sijaingia ili nijue naanzia wapi ntashkuru vijana wenzangu kama mtanisaidia kwa hilo Nshachoka kutuma CV na barua kila siku bora niingie field Mungu hawezi kutunyima vyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni na majukumu nina shida moja nahitaji msaada kidogo kuhusu taarifa au mtu yeyote ambae ameshawai kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji katika mikoa ya Morogoro na Mbeya
1.Kianzio au mtaji kima cha chini
2.muda mzuri wa kulima
3.mbegu aina gani kutokana na msimu
4.changamoto zake (Common challenges)
ushauri na ni vitu gani vya kuzingatia hasa kwa mtu ambae hajawai kabisa kulima zao hilo no vitu gani lazima awe navyo na awe tayari kukabiliana navyo natamani sana kuingia kwenye zao hilo lakini changamoto niliyo nayo ni kuhusu taarifa sahihi kabla sijaingia ili nijue naanzia wapi ntashkuru vijana wenzangu kama mtanisaidia kwa hilo Nshachoka kutuma CV na barua kila siku bora niingie field Mungu hawezi kutunyima vyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Morogoro hasa wilaya ya Kilombero na Ulanga hakuna kilimo cha umwagiliaji. ni kilimo cha kutegemea mvua tu na mvua zipo za kutosha.
1. Kuhusu kianzio ni suala la kukodi mashamba bei average ni elfu 50 kwa heka, pia uwe na pesa ya kulimia yaani kukodi trecta ambayo tsh. elfu 50 average.
2. Muda mzuri kulima ni kuanzia mwezi wa 11. kuandaa mashamba hadi mwezi wa kwanza utamwaga mbegu. ila inabidi uone wenyeji wanafanyaje
3. Mbegu nadhani zipo za kisasa ila watu wanatumia za kienyeji. so ukienda eneo husika utapata ABC kuhusu mbegu
4. changamoto ni mvua nyingi, na usafiri
 
Morogoro hasa wilaya ya Kilombero na Ulanga hakuna kilimo cha umwagiliaji. ni kilimo cha kutegemea mvua tu na mvua zipo za kutosha.
1. Kuhusu kianzio ni suala la kukodi mashamba bei average ni elfu 50 kwa heka, pia uwe na pesa ya kulimia yaani kukodi trecta ambayo tsh. elfu 50 average.
2. Muda mzuri kulima ni kuanzia mwezi wa 11. kuandaa mashamba hadi mwezi wa kwanza utamwaga mbegu. ila inabidi uone wenyeji wanafanyaje
3. Mbegu nadhani zipo za kisasa ila watu wanatumia za kienyeji. so ukienda eneo husika utapata ABC kuhusu mbegu
4. changamoto ni mvua nyingi, na usafiri
Thanks mr kwahiyo ulanga umwagiliaji hawafanyi kkabisa au inategemea we umenda msimu gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni na majukumu nina shida moja nahitaji msaada kidogo kuhusu taarifa au mtu yeyote ambae ameshawai kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji katika mikoa ya Morogoro na Mbeya
1.Kianzio au mtaji kima cha chini
2.muda mzuri wa kulima
3.mbegu aina gani kutokana na msimu
4.changamoto zake (Common challenges)
ushauri na ni vitu gani vya kuzingatia hasa kwa mtu ambae hajawai kabisa kulima zao hilo no vitu gani lazima awe navyo na awe tayari kukabiliana navyo natamani sana kuingia kwenye zao hilo lakini changamoto niliyo nayo ni kuhusu taarifa sahihi kabla sijaingia ili nijue naanzia wapi ntashkuru vijana wenzangu kama mtanisaidia kwa hilo Nshachoka kutuma CV na barua kila siku bora niingie field Mungu hawezi kutunyima vyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu taarifa sahihi ipo field.. Kuanzia mwezi wa 11 watu wanaanza kilimo, kwenye mtaji wako weka budget ya kutembelea maeneo husika ata mara mbili au tatu kuanzia huo mwezi wa 11 adi miezi ya kuvuna... Utapata taarifa sahihi kabisa... Hapa JF utachanganyikiwa tu kila mmoja atakuja na taarifa yake kutokana na uzoefu wake au eneo alilopo.
 
Mkuu taarifa sahihi ipo field.. Kuanzia mwezi wa 11 watu wanaanza kilimo, kwenye mtaji wako weka budget ya kutembelea maeneo husika ata mara mbili au tatu kuanzia huo mwezi wa 11 adi miezi ya kuvuna... Utapata taarifa sahihi kabisa... Hapa JF utachanganyikiwa tu kila mmoja atakuja na taarifa yake kutokana na uzoefu wake au eneo alilopo.
Asante mr kwa ushauri

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Asante mr kwa ushauri

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Poa poa mkuu, mimi mwenyewe nina mpango kuanzia msimu ujao (2019) niingie Mbalali nikajichimbie kweli kweli nisije mjini. Nasubiri kuanzia mwezi wa 12 nianze taratibu za kujisogeza Mbeya kuusoma mchezo japo tayari nina taarifa chache.
 
Njoo huku kisopwa hatuna msimu wala mvua tunatumia maji ya kumwagilia ..mwaka mzima tunalima mpunga
Umeelewa anachotaka kweli? Zamani tukiingia kwenye paper kipengele cha kwanza kilikuwa "read the questions carefully before answering them.... "
 
Mbegu zipo nyingi na zinatifautiana eneo moja na jingine. Kuna Saro (SR) na guluwale hizi zinatoaavuno mengi. Pia kuna fire dume na kalmata hutoa mavuno wastan ila bei ya uuzaji ni kubwa
Mbegu zipo nyingi na zinatifautiana eneo moja na jingine. Kuna Saro (SR) na guluwale hizi zinatoaavuno mengi. Pia kuna fire dume na kalmata hutoa mavuno wastan ila bei ya uuzaji ni kubwa
Mbegu zipo nyingi na zinatifautiana eneo moja na jingine. Kuna Saro (SR) na guluwale hizi zinatoaavuno mengi. Pia kuna fire dume na kalmata hutoa mavuno wastan ila bei ya uuzaji ni kubwa


Unaweza kunisaidia taarifa kwa eneo la mkoa wa Mara kama mbegu tajwa zinastawi? na je unaweza kunisaidia kupata mbegu hizi?
 
Mbegu zipo nyingi na zinatifautiana eneo moja na jingine. Kuna Saro (SR) na guluwale hizi zinatoaavuno mengi. Pia kuna fire dume na kalmata hutoa mavuno wastan ila bei ya uuzaji ni kubwa
Hujambo mkuu, asante kwa kumjibu vyema! Kwa kuongezea tu super India, nganyaro, mbawa mbili, super Zambia ila kama ndio mkulima unaanza na huna uzoefu wa shamba nashauri MTU alime mbawa mbili! Haina usumbufu sana na inabumilia sana magonjwa
 
Back
Top Bottom