Herbert Nkuluzi JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 2,592 Reaction score 2,629 Oct 10, 2018 #21 chambi1509 said: Hujambo mkuu, asante kwa kumjibu vyema! Kwa kuongezea tu super India, nganyaro, mbawa mbili, super Zambia ila kama ndio mkulima unaanza na huna uzoefu wa shamba nashauri MTU alime mbawa mbili! Haina usumbufu sana na inabumilia sana magonjwa Click to expand... Asante kwa maelezo sasa mbegu hizi hupatikanaje?
chambi1509 said: Hujambo mkuu, asante kwa kumjibu vyema! Kwa kuongezea tu super India, nganyaro, mbawa mbili, super Zambia ila kama ndio mkulima unaanza na huna uzoefu wa shamba nashauri MTU alime mbawa mbili! Haina usumbufu sana na inabumilia sana magonjwa Click to expand... Asante kwa maelezo sasa mbegu hizi hupatikanaje?
9 99Gh Member Joined Apr 13, 2016 Posts 6 Reaction score 3 Dec 18, 2018 #22 Kisopwa iko mkoa gani naomba kufahamishwa tafadhali. mjasiri na mali said: Njoo huku kisopwa hatuna msimu wala mvua tunatumia maji ya kumwagilia ..mwaka mzima tunalima mpunga Click to expand...
Kisopwa iko mkoa gani naomba kufahamishwa tafadhali. mjasiri na mali said: Njoo huku kisopwa hatuna msimu wala mvua tunatumia maji ya kumwagilia ..mwaka mzima tunalima mpunga Click to expand...
Mjasiri na Mali JF-Expert Member Joined Jun 24, 2017 Posts 5,366 Reaction score 14,167 Dec 18, 2018 #23 99Gh said: Kisopwa iko mkoa gani naomba kufahamishwa tafadhali. Click to expand... Dar es salaam pande za mloganzila
99Gh said: Kisopwa iko mkoa gani naomba kufahamishwa tafadhali. Click to expand... Dar es salaam pande za mloganzila
Fenuchi Senior Member Joined May 5, 2019 Posts 116 Reaction score 38 May 26, 2019 #24 mjasiri na mali said: Njoo huku kisopwa hatuna msimu wala mvua tunatumia maji ya kumwagilia ..mwaka mzima tunalima mpunga Click to expand... Kisopwa ipo wap mkuu
mjasiri na mali said: Njoo huku kisopwa hatuna msimu wala mvua tunatumia maji ya kumwagilia ..mwaka mzima tunalima mpunga Click to expand... Kisopwa ipo wap mkuu