Kilimo cha mtama

Helios

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
651
Reaction score
490
Wadau,
kampuni za TBL na SBL nasikia wameanzisha kilimo cha mkataba cha mtama kwa ajili ya kutengenezea bia. tafadhali mwenye details zaidi na uzoefu anijuze. nataka kuinvest katika hicho kilimo. asanteni
 
Mkuu ni kweli kabisa TBL huwa wananunua Mtama kwa ajili ya kutengenezea BIA, Ila nijuavyo mimi ni TBL pekee ndo wananunua mtama kwa ajili ya BIA YA EAGLE LAGER na hii bia inatengenezwa na kiwanda cha ARUSHA PEKEE KWA MWANZO ILA KWA SASA SIJUI KAMA INATENGENEZWA NCHI NZIMA MAKE MIMI SIO SHABIKI
kwa SBL sijui kama wana BIA inayo tumia Mtama kama TBL walivyo na EAGLE


NA MWISHO kuna Aina ya Mtama si kwamba wananunua MTAMA wa aina yote, Na wao ndo wanakupatia Mbegu za Kupanda make wanazo Mbegu za huo Mtama

Kuna kipindi nikuwaga Babati niliona wakigawa Mtama kwa wakulima ila ni miaka mingi imepita sijui now day
 

Thanks mkuu, wadau wa haya makampuni ya bia watujuze zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…