Kilimo cha muhogo na vitunguu ni mkombozi wa wakulima

Kilimo cha muhogo na vitunguu ni mkombozi wa wakulima

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nimeambiwa kilimo cha muhogo na vitunguu ni kilimo chenye tija na faida kubwa sana kulinganisha na mazao mengine, kwani zina soko zuri na la uhakika, kwa anaefahamu juu ya kilimo cha mazao haya anipe mwanga kidogo..
 
Umeshawahi kujua kama kuna jukwaa la ujasiriamali?
 
Back
Top Bottom