realpatriot
Senior Member
- May 28, 2009
- 116
- 76
Habari wadau wa jukwaa la Kilimo,.Ufugaji na Uvuvi.
Leo napenda nitoe wazo ama kama limeshawahi kutolewa basi ningependa kueleshwa kuhusu kilimo cha olive.
Nafikiri ni muda sasa umefika kwa tanzania kugeukia kilimo hiki kwa maana soko lake katika dunia limekua maradufu na hasa baada ya kuonekana yana ubora kuliko alizeti ambayo kwa muda sasa yamekua kimbilio kubwa la jamii yote.
Baada ya kusema haya nakaribisha rasmi mjadala huu kwa kuwakaribisha wadau mbalimbali muweze kutoa ushauri kuhusu Mbegu,hali ya hewa,udongo na mengineyo yanayohusu kilimo hiki.
Mwaka 2013 serikali ilitangaza kuwa imechukua mbegu za majaribio na kuzipeleka kwenye kituo cha utafiti wa mazao pale Arusha,nimejaribu kufuatilia matokeo ya utafiti huu bila mafanikio.
Tanzania Looking Into A New Crop: Olives
Tafadhali mwenye taarifa zaidi atujuze khs hili
NAWASILISHA.
Leo napenda nitoe wazo ama kama limeshawahi kutolewa basi ningependa kueleshwa kuhusu kilimo cha olive.
Nafikiri ni muda sasa umefika kwa tanzania kugeukia kilimo hiki kwa maana soko lake katika dunia limekua maradufu na hasa baada ya kuonekana yana ubora kuliko alizeti ambayo kwa muda sasa yamekua kimbilio kubwa la jamii yote.
Baada ya kusema haya nakaribisha rasmi mjadala huu kwa kuwakaribisha wadau mbalimbali muweze kutoa ushauri kuhusu Mbegu,hali ya hewa,udongo na mengineyo yanayohusu kilimo hiki.
Mwaka 2013 serikali ilitangaza kuwa imechukua mbegu za majaribio na kuzipeleka kwenye kituo cha utafiti wa mazao pale Arusha,nimejaribu kufuatilia matokeo ya utafiti huu bila mafanikio.
Tanzania Looking Into A New Crop: Olives
Tafadhali mwenye taarifa zaidi atujuze khs hili
NAWASILISHA.