Kilimo cha Tikiti maji (sugar baby) na kuchagua aina za Tikiti maji

Kilimo cha Tikiti maji (sugar baby) na kuchagua aina za Tikiti maji

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,519
Reaction score
2,055
Salaam JF.

Matikiti maji aina ya sugar baby ambayo yanajulikana kwa ubora na utamu pamoja na biashara inachukua siku 60 kukua na ukiongeza na siku 3-5 za kukaa ardhini .Zao hili unaweza kulima Mara 4 kwa mwaka.Mfano,ukiwa na hekari 5,kula hekari moja inaweza kuingiza Tsh 1,000,000/= hadi 3,000,000/=.

Mambo Muhimu;

√Nafasi ya 2mm kuachwa kutoka mmea mmoja na mwingine.
√Mbegu 2 kula shimo(matundu 2-3).
√Kila shimo unaweza kupata matunda 4-6(wastani 5).
√Kwa ukubwa wa hekari 5 unaweza kuwa na ukubwa wa mashimo 1,000-1,500.
Idadi ya matunda(mashimo×matunda kwa shimo Mara hekari=1,000×5×5=25,000).

Matokeo;

Mapato,wastani Tsh 500/=.
Kwa hekari 5(25,000×500=12,500,000/=)
Mapato kwa Mwaka(2,500,000×4=50,000,000/=).
Gharam za Uendeshaji(25,000,000/=).
Faida kwa ujumla(25,000,000/=).

Mbinu za kuchagua tikitimaji lilo bora (outside structure considerations).

IMG-20190726-WA0014.jpeg
 
Yale matikiti ya mwanzoni ganda la kijani kote yamepotelea wapi sikuhizi?
 
Katika watu 10 wanaolima matikiti, 8 Kati yao lazima waje wanalia, hiki kilimo sjui tatizo nin. Kila lakheri jaman, ni bora hata nyanya Kwa kweli
 
Back
Top Bottom