Kilimo cha ufuta

imbegete

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,299
Reaction score
992
Wandugu, habari zenu. Ni hivi mimi nataka kuwekeza kwenye lilimo cha ufuta kwenye maeneo ya rufiji. Naomba mwenye ujuzi wa kilimo hicho cha ufuta anipe ushauri juu ya hili.
 
Msaada juu ya kilimo cha ufuta,gharama wastani waheka moja,naomba wenye ujuzi tafadhali,
 
Wandugu, habari zenu. Ni hivi mimi nataka kuwekeza kwenye lilimo cha ufuta kwenye maeneo ya rufiji. Naomba mwenye ujuzi wa kilimo hicho cha ufuta anipe ushauri juu ya hili.
Umechunguza kwanza bei yake sokoni??
Last year maeneo hayo watu waliuza kwa Tshs 1,700/= kwa kilo bei ya shamba.
Mara Nyingi heka yaweza kutoa kilo 400 - 500 ukiihudumia na ukakusanya/kuvuna vizuri.
 
Ahsante mkuu,samahani mchanganuo ukoje kwa maana ya gharama in kiasi gani had I uvunaji?kukodi,kusafisha,mbegu kiss gani na uvunaji?kwa heka,Misha nitazidisha kwa idadi za heka nitakazo chukuwa
 
Ili ufanikiwe waone maafisa kilimo ili wakuelekze vipimo ktk upandaji
 
Ufuta una hatua karibu nne au tano muhimu..1.kuotesha mbegu za ufuta pale inahitaji umakini kama utaweka vibarua hakikisha ufita upo kwenye chupa ambacho kina mfuniko uliotobolewa juu matundu madogo madogo ili uweze kupita tofauti na hapo wataweka shimo moja mbegu 1000.2.dawa na kupunguza pale ulipoota mwingi au kupandikiza pale ulipokosa kuota.3..dawa ya wadudu,boster.4 kukata na kuanika kwa muda flani..5 kuupiga piga ili kupata ufuta wenyewe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna zao "pasua kichwa" kama Ufuta.
Hakikisha unalifanyia utafiti wa kutosha kabla ya kujiingiza huko,
Last year nimemshuhudia mwamba alivamia kijiji kutokea Dar akatia 7 Million kwenye ufuta, mwishowe akaambulia Laki 4.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…