Kilimo cha umwagiliaji

Kilimo cha umwagiliaji

powercert_Tz

Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
45
Reaction score
44
Mkoa wa Morogoro umepatiwa bilioni 16 kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ya umwagiliaji na ya kuhifadhi mazao. Hii itasaidia kukuza shughuli za kilimo mkoani humo na kuongeza uhakika wa upatikanaji wa chakula. Lengo la Serikali ni kuhakikisha upatikanaji wa chakula cha kutosha katika kipindi chote cha mwaka.
 
Mkoa wa Morogoro umepatiwa bilioni 16 kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ya umwagiliaji na ya kuhifadhi mazao. Hii itasaidia kukuza shughuli za kilimo mkoani humo na kuongeza uhakika wa upatikanaji wa chakula. Lengo la serikali ni kuhakikisha upatikanaji wa chakula cha kutosha katika kipindi chote cha mwaka.

Ila vyakula sahivi vimekuwa na bei kubwa sana kiasi kwamba watu wa hali ya chini sana inatisha
 
Ndugu anakaa nje ya nchi ukimwambia bei ya chakula.. anajua unampiga
Mpaka na yeye afanye upelelezi
 
Mkoa wa Morogoro umepatiwa bilioni 16 kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ya umwagiliaji na ya kuhifadhi mazao. Hii itasaidia kukuza shughuli za kilimo mkoani humo na kuongeza uhakika wa upatikanaji wa chakula. Lengo la serikali ni kuhakikisha upatikanaji wa chakula cha kutosha katika kipindi chote cha mwaka.
Habari ipo kiblanket sana
Tupewe mchanganuo isijekuwa hadithi za kilimo kwanza, brn and the like
 
Back
Top Bottom