stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Shtukeni wakuu. Mimi nawasanua tu na gharama za kulima heka 1 ni mil 1 tu kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na miladi ya watuKuna siku nilijiuliza nikakosa jibu
wale vijana wa Bashe sijui ndio wanaitwaje Kwa Nini hawakupelekwa huko?
Kilimo cha kwenye madaftari, kilimo cha motivation spikas.Shtukeni wakuu .Mimi nawasanua tu .Na ghalama za kulima heka 1 ni mil 1 tu kila kitu
Kilimo cha kwenye madaftari, kilimo cha motivation spika
Sijibu watu kama nyny ckhzKilimo cha kwenye madaftari, kilimo cha motivation spikas.
NANI KAKUAMBIA WALE WANAENDA KULIMAKuna siku nilijiuliza nikakosa jibu
wale vijana wa Bashe sijui ndio wanaitwaje Kwa Nini hawakupelekwa huko?
Mmeanza tenaShtukeni wakuu .Mimi nawasanua tu .Na ghalama za kulima heka 1 ni mil 1 tu kila kitu
Dogo mgerasi ole wako hao mbusii waingie kwenye shamba la mahindi la mzee thadayo.Mofo the umbwaaa