Hapa Tanzania kilimo cha Basil, Mint, Parsley, Sage, oregano, thyme, rosemary, mbegu za chia, kinaweza kulimwa katika mikoa ipi, nimeahidiwa soko kubwa lakini mpaka sasa sijafahamu hiki kilimo nitaweza kukifanyia mkoa gani, mwenye ufahamu naomba anijuze
Mkuu unahitaji za eneo la ukubwa gani, me ninazo zile hupandwa cuttings kila cut ntakuuzia 200/= Tsh.Mkuu toccara nikupongeze kwanza kwa kuleta uzi huu, je miche or rather mbegu ya/za mint naweza kuzipataje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Toccara hongera kwa maono mazuri. Mimi napenda kuanzisha kilimo cha oregano, je mbegu zake zinapatikana wapi?Hapa Tanzania kilimo cha Basil, Mint, Parsley, Sage, oregano, thyme, rosemary, mbegu za chia, kinaweza kulimwa katika mikoa ipi, nimeahidiwa soko kubwa lakini mpaka sasa sijafahamu hiki kilimo nitaweza kukifanyia mkoa gani, mwenye ufahamu naomba anijuze
mkuu habari je mbegu/miche ya oregano au basil unazo na unapatikana wapiMkuu unahitaji za eneo la ukubwa gani, me ninazo zile hupandwa cuttings kila cut ntakuuzia 200/= Tsh.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππMkuu toccara nikupongeze kwanza kwa kuleta uzi huu, je miche or rather mbegu ya/za mint naweza kuzipataje?
Sent using Jamii Forums mobile app