CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Watanzania wengi tumewekza sana kwenye biashara za kuigana mwanzo mwisho na tuna sahau kuna gap kwenye kilimo cha vyakula wanavyo tumia sana foregners wanao iahi Tanzania.
Na kwenye Kilimo hata ukiwa na watu 30 tu wanao tumia products yao nchi nzima inatosha , sio lazima kuwa na product ya kuuza kila sehemu na still haina profit.
Naangaliaga Arusha unakuta products zingine inabidi zitole Kenya, kwa ajili ya Goreigners, na some time South Africa, na sisi tuna aridhi sijui tuna kwama wapi au tunangojea Waziri atutangazie kwamba sasa limeni kitu fulani?
Nchi ina foreigners wengi sana, Wazungu, Wahindi, Wachina, Wajapani na hata Waafrica wa mataifa mengine, hao wote wana utamaduni wao wa vyakula wanavyo pendelea.
Mfano Wachina wanapenda sana kula Bata kulilo Kuku, ila sasa wanapata Bata wa kutosha? Vipi aina zao za mboga?
The same kwa Wazungu, na kadhalika, Ukiweza kuzalisha products yavkuwauzia tu hata wachina 30 nchi nzima inatosha ni soko kubwa sana.
Ni asilimia ndogo ya vyakula tunavyo zalisha vinavyo liwa na wageni.
Matunda kuna varieties nyingi sana sisi tunajua kama asilimia 10 ya varieties zote za matunda, the same na Mboga, the same na Spice na kadhalika.
Na kwenye Kilimo hata ukiwa na watu 30 tu wanao tumia products yao nchi nzima inatosha , sio lazima kuwa na product ya kuuza kila sehemu na still haina profit.
Naangaliaga Arusha unakuta products zingine inabidi zitole Kenya, kwa ajili ya Goreigners, na some time South Africa, na sisi tuna aridhi sijui tuna kwama wapi au tunangojea Waziri atutangazie kwamba sasa limeni kitu fulani?
Nchi ina foreigners wengi sana, Wazungu, Wahindi, Wachina, Wajapani na hata Waafrica wa mataifa mengine, hao wote wana utamaduni wao wa vyakula wanavyo pendelea.
Mfano Wachina wanapenda sana kula Bata kulilo Kuku, ila sasa wanapata Bata wa kutosha? Vipi aina zao za mboga?
The same kwa Wazungu, na kadhalika, Ukiweza kuzalisha products yavkuwauzia tu hata wachina 30 nchi nzima inatosha ni soko kubwa sana.
Ni asilimia ndogo ya vyakula tunavyo zalisha vinavyo liwa na wageni.
- Varieties za matunda
- Varieties za mboga
- Spices
- Nyama ingawa hapa labda sana aina ndege kama Bata
- Varieties za Uyoga
Matunda kuna varieties nyingi sana sisi tunajua kama asilimia 10 ya varieties zote za matunda, the same na Mboga, the same na Spice na kadhalika.