kibananhukhu
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 366
- 163
Kuna utajiri mkubwa uliolala katika Kilimo. Baadhi ya watu wanakosa taarifa tu ili wawe na uwezo mkubwa wa ki-uchumi. Bofya UjasiriMali na iMADS
Ukithubutu, Utaweza.
Kuna utajiri kwenye kilimo,
Ila kwa bei yao ya Greenhouse za 7mil it is unfair!!
Mkuu,Unaweza ukawa sahihi kwa upande mmoja. Kwa upande mwingine ni vizuri kutumia mchanganuo. Nailoni zitumikazo ni maalum, mipira ya matone, mbolea, mbegu, madawa, vyote ni aghali. Hata hivyo, ukiangalia ki-mchanganuo, mil 7 zitarudi na zaidi kwa msimu wa kwanza na baada ya hapo ni faida kwa miaka mitano.
Mkuu,
Nimesema ni expensive sio kwa kulinganisha na huduma zitakazopatikana kutokana na hiyo Tshs 7Mil, bali suppliers wengine wa same products.
Mfano Balton wanatoa kwa Tshs 6Mil.
Kuna mdau mmoja wa hapa JF anaitwa mamaNa anatoa kwa approx. Tshs 4Mil (Angalia https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...08513-jenga-greenhouse-kwa-gharama-nafuu.html).
Pia wapo wakenya ambao ukizitoa kwao na kuzileta hapa haifiki hata Tshs 6Mil,
Jaribu kuwaambia hawa watu wawe fair kidogo ili huu utajiri utokanao na kilimo tuupate sio baada ya kurudisha cost kubwa!!
Funguka tena zaidi basi kaka yangu,Ninakushukuru sana kwa ushauri. Hata hivyo, wote uliowataja ninawafahamu. Tuna tofauti ya materials tunazotumia. Plastic za green house vile vile zina tofauti ya quality kulingana na aina ya mazao. Jambo la kuangalia vile vile kwenye eneo la technolojia hii ni kuwa huwa green houses zina expiry dates mara nyingi ni miaka mitano. Kuna green house za kuzuia aina fulani ya mionzi na nyingine zinauzwa used ambazo zina riskis.
Gharama zetu zinaweza kupungua kutegemea unalima nini, wapi, na wewe una uwezo wa kutupatia au kuchangia nini katika ujezi. Wakati wenzetu wanacharge flat rate ya mil 6 kwa 8m x 15m. sisi kwa 7mil unaweza kupata wooden green house ya 8m x 30m. Ninakushukuru kwa kutumia muda wako katika taarifa yetu. Wateja wetu wanaunafuu zaidi kuliko hao wote huenda kwa kuwa nimetoa ghrama ya makadirio inapotosha kidogo. Ukiwa tayari tutakupa gharama halizi.
Ninakushukuru sana kwa ushauri. Hata hivyo, wote uliowataja ninawafahamu. Tuna tofauti ya materials tunazotumia. Plastic za green house vile vile zina tofauti ya quality kulingana na aina ya mazao. Jambo la kuangalia vile vile kwenye eneo la technolojia hii ni kuwa huwa green houses zina expiry dates mara nyingi ni miaka mitano. Kuna green house za kuzuia aina fulani ya mionzi na nyingine zinauzwa used ambazo zina riskis.
Gharama zetu zinaweza kupungua kutegemea unalima nini, wapi, na wewe una uwezo wa kutupatia au kuchangia nini katika ujezi. Wakati wenzetu wanacharge flat rate ya mil 6 kwa 8m x 15m. sisi kwa 7mil unaweza kupata wooden green house ya 8m x 30m. Ninakushukuru kwa kutumia muda wako katika taarifa yetu. Wateja wetu wanaunafuu zaidi kuliko hao wote huenda kwa kuwa nimetoa ghrama ya makadirio inapotosha kidogo. Ukiwa tayari tutakupa gharama halizi.
Kilmo chetu hapa tanzania haina ulazima wa kuotesha ndani yaani greenhouse tunachotaka ni namna gani ya umwagiliani wa mimea ktk njia ambayo ina punguza gharama na matumizi ya maji tu.
Umwagiliaji upo wa namna nyingi kutegemea aina ya mazao. Sisi sasahivi tuna vifaa vya umwagiliaji wa matone. Bei ya mabomba ya matone inafikia shs 950/= kwa mita moja na bei hiyo inaweza kuongezeka kutegemea imeingia dar kwa rate gani ya dola. eka moja hutosha mita 1000 kwa wastani japo itategemea aina na mimea na vipimo vitakavyotumika. Upo sahihi kwani kuna aina ya mazao yanalimwa nje ya green house na yanaingiza faida zaidi ya yaliyolimwa ndani ya green house. Ukuaji wa haraka wa mimea na ubora ni mingoni mwa faida ya green house na kuna baadhi ya mazao na mbegu ni lazima yalimwe ndani ya green house.
Funguka tena zaidi basi kaka yangu,
Mnakua na any "after sales services" labda kumtembelea mteja wenu kuangalia maendeleo yake?
Hiyo bei inahusisha gharama za Upimaji wa Maji, Udongo, e.t.c? Kama haihusishi basi mnafanya kwa Tshs ngapi?
Vipi kuhusu gharama zingine kama installation of water (re)sources kama visima, mabwawa, simtank, e.t.c
Wajua hata hiyo link uliyoweka haina mchanganuo sana wa hivi vitu na tungependa kuvijua kwa undani ili kuepuka "hidden costs" zitakazokuja kutokea baadae!!