Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Mwaka jana nimelima mahindi mkoa wa Kagera ambayo nimevuna (kwa hasara) mwezi march mwaka huu.
Nimepata hasara kwa sababu hali ya hewa haikuwa shwari, wengi tumekosa mvua za kutosha mwanzoni hali iliyopelekea kuharibikiwa mazao yetu (sio mimi peke yangu)
Kwa sasa shamba hilo nimepanda maharage, nashukuru mungu hali ni shwari..
============
Kilimo hasa cha kutegemea mvua chataka moyo! Lakini lazima tupambane kwani wote hatuwezi kuwa waalimu au mawaziri.
Nikiwa katika pitapita zangu juzi kati wilaya za kigoma (hasa kasulu & kibondo) nimeona watu wana mahindi mashambani swaafi kabisa mpaka niliwaonea wivu kwa kweli!
na huko sidhani kama kuna rekodi za matokeo mabaya ya mavuno.. Kwanza inaonekana ardhi za huko zina rutuba sana
Hebu wenyeji wa huko mnipe mawili matatu nataka nihamie huko mie![emoji4]
Nimepata hasara kwa sababu hali ya hewa haikuwa shwari, wengi tumekosa mvua za kutosha mwanzoni hali iliyopelekea kuharibikiwa mazao yetu (sio mimi peke yangu)
Kwa sasa shamba hilo nimepanda maharage, nashukuru mungu hali ni shwari..
============
Kilimo hasa cha kutegemea mvua chataka moyo! Lakini lazima tupambane kwani wote hatuwezi kuwa waalimu au mawaziri.
Nikiwa katika pitapita zangu juzi kati wilaya za kigoma (hasa kasulu & kibondo) nimeona watu wana mahindi mashambani swaafi kabisa mpaka niliwaonea wivu kwa kweli!
na huko sidhani kama kuna rekodi za matokeo mabaya ya mavuno.. Kwanza inaonekana ardhi za huko zina rutuba sana
Hebu wenyeji wa huko mnipe mawili matatu nataka nihamie huko mie![emoji4]