Kilimo kwanza

Agrodealer

Senior Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
107
Reaction score
13
Jamani kuna kilio cha mawakala wa pembejeo za kilimo kanda ya kaskazini. Mawakala wametoa huduma kwa wakulima tangu mwezi wa 3
cha kushangaza mpaka leo wakulima wamevuna na kula ila mawakala hawajalipwa ujira wao. Swali ni, Ni kweli kwamba sera ya lilimo kwanza itafikia malengo kwa hali hii?
 
Walioleta hii sera alikurupuka, hawakujiandaa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…