Kwa sasa bado tuna ardhi ya kuchezea ndomana tunabweteka na kuendekeza uzembe lakini kwa kasi hii mpya ya kuzaana pamoja na 'imaigrants' wanaoingia kwa fujo kutoka nchi jirani wala hatutahitaji mwalimu wala fedha za kigeni, wenyewe tutaingia huko... na si zaidi ya miaka 10