Kilimo kwanza.

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
Sisi.....



Wenzetu.....



Lini tutawafikia nasi tujitosheleze kwa chakula?
 


Hapo ng`ombe mmoja tu anakupa lita 100 za maziwa kwa siku,sisi tunashindwa nini kuzalisha breed kama hizi tuondokane na utapiamlo?
 


Kwa hali hii lini tutawafikia?Na nini kifanyike angalau basi kama hatuwezi kuwafikia japo tuwakaribie?
 
Kwa sasa bado tuna ardhi ya kuchezea ndomana tunabweteka na kuendekeza uzembe lakini kwa kasi hii mpya ya kuzaana pamoja na 'imaigrants' wanaoingia kwa fujo kutoka nchi jirani wala hatutahitaji mwalimu wala fedha za kigeni, wenyewe tutaingia huko... na si zaidi ya miaka 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…