Kilimo: Mwenyeji wa Kahama tafadhali nifahamishe kuhusu yafuatayo

Kilimo: Mwenyeji wa Kahama tafadhali nifahamishe kuhusu yafuatayo

bab-D

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
1,215
Reaction score
322
Naomba mtu wakahama anijuze yafuatayo,
1)bei za mashamba yasiyo mbali na mjini kama km 4-10 toka mjini
2)upatikanaji wa maji katika maeneo hayo,
3)nimaeneo yanayo faa kwa kilimo cha bustani?
4)vp soko la mbogamboga na matunda kwa kahama likoje?
5)mji wa kahama unaulinganisha na wilaya gani mwanza kibiashara sengerema, geita,misungwi, magu, kwimba?
6)vp vyanzo vya maji kama mito na mabwawa vipo ambavyo maji yanapatikana mwaka mzima?
>Maswali yote yamelenga maeneo yaliyo km 4-10 toka mjini
nawakilisha
 
Kahama hua napitaga siku flani nilipata nafasi ya kuzunguka zunguka kwa kifupi ni wilaya ambayo haifanani na wilaya zozote zile Tanzania, jinsi kulivyo ni kama vile mkoani...mzunguko wa biashara upo vizuri na watu wanaspend hela sana...
 
Kahama hua napitaga siku flani nilipata nafasi ya kuzunguka zunguka kwa kifupi ni wilaya ambayo haifanani na wilaya zozote zile Tanzania, jinsi kulivyo ni kama vile mkoani...mzunguko wa biashara upo vizuri na watu wanaspend hela sana...

Kumbe kilimo hakimati kahama, bola uuze sigara tu?
 
Back
Top Bottom