1. Binti mbegu utapata wapi?Habari wakuu. Naomba kujua kuhusu kilimo na soko la almonds. Na ushauri kutoka kwenu kama ni kilimo cha kukimbilia hasa kwa binti kama mimi ambae ndo kwanza anaanza kilimo. Please nisaidieni kwa mawazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Nilishatafuta mtu akaniambia anauza miche kwa shs 3000.1. Binti mbegu utapata wapi?
2. Je! binti unayeanza kilimo hapa bongo hali ya hewa ya kustawi kwake inakubali mkoa gani?
3. Binti unayeanza masoko ni mengi sana kwa sababu nayaona kwenye ma super market na kwa kuwa yana ladha inayokaribiana na karanga ama korosho watu watependa kutafunatafuna hivyo jaribu waweza kufanikiwa , mazao ya supermarket siku hizi watu wanayalima tuu kama ma apple, bisi yale mahindi ya kukaanga na wewe anzishe hil ukianza kutoboa tutakuiga kama ilivyo tabia ya watanzania.
Kazi nzuri na una matumizi mazuri ya ubongo wako1. Nilishatafuta mtu akaniambia anauza miche kwa shs 3000.
2. Utafiti niliofanya ni kuwa unastawi popote penye mvua ya kiasi cha kati. Kama morogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Nicheki PM nikupe number ya mtu anayeuza mbegu, yeye analima morogoroNaombeni connection ya anayeuza mbegu miche ya Almond au mkoa gani zinakubali zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi aisee nataka kulima hii.kitu nisaidie number...japo Mimi nataka miche 0717782736
Huyu alifanikiwa?Mimi nina rafiki yangu kutoka Australia anatafuta shamba hapa Tanzania hasa mikoa ya Morogoro au karibu na pwani ambalo litakuwa na maji ya kutosha, anahitaji ekari 1000 -2000 hivi, anataka kwajili ya kilimo cha Almond, pia atakuwa ananunua almond kutoka kwa wakulima wengine.
So itakuwa fursa sana kwetu. Kama unashamba usisite kuwasiliana nami Huko PM, Zao hili linazaa sana hapa kwetu, na ndani ya miaka mitatu almond zinakuwa tayari kwa kuvuna na mti wake hudum zaidi yya miaka 15.
HakufanikiwaHuyu alifanikiwa?
Akipewa hizo ekari nitafute. Tuna urasimu wa ajabu sana sisi WaTz na ndiyo maana sekta ya kilimo haina uwekezaji wa maana.Mimi nina rafiki yangu kutoka Australia anatafuta shamba hapa Tanzania hasa mikoa ya Morogoro au karibu na pwani ambalo litakuwa na maji ya kutosha, anahitaji ekari 1000 -2000 hivi, anataka kwajili ya kilimo cha Almond, pia atakuwa ananunua almond kutoka kwa wakulima wengine.
So itakuwa fursa sana kwetu. Kama unashamba usisite kuwasiliana nami Huko PM, Zao hili linazaa sana hapa kwetu, na ndani ya miaka mitatu almond zinakuwa tayari kwa kuvuna na mti wake hudum zaidi yya miaka 15.