Safi sana, tatizo kubwa miongoni mwa watanzania ni kuogopa KUTHUBUTUMwaka Jana nimelima heka moja ya vitunguu na jumla gharama nilitumia 1,700,000/= nikafanikiwa kupata gunia 72 ambayo kila gunia niliuza kwa 90,000/= sawa na tsh 6,480,000/= ukitoa gharama zangu unapata baki ya tsh 4,780,000/= Nilipotoa gharama zangu zote nyingine kama usafiri na chakula nilipokuwa shamba nikabakiwa na 4,300,000/= Nilitumia miezi minne mpaka kuvuna na approximation ni kama kila mwez niliingiza 1 million. Ni kiasi kidogo na ni kikubwa pia.
Tujifunze kuwekeza shambani
Naomba unipe mwanga kidogo ndg maana nna huo mpango wa kulima vitunguu piaMwaka Jana nimelima heka moja ya vitunguu na jumla gharama nilitumia 1,700,000/= nikafanikiwa kupata gunia 72 ambayo kila gunia niliuza kwa 90,000/= sawa na tsh 6,480,000/= ukitoa gharama zangu unapata baki ya tsh 4,780,000/= Nilipotoa gharama zangu zote nyingine kama usafiri na chakula nilipokuwa shamba nikabakiwa na 4,300,000/= Nilitumia miezi minne mpaka kuvuna na approximation ni kama kila mwez niliingiza 1 million. Ni kiasi kidogo na ni kikubwa pia.
Tujifunze kuwekeza shambani
Kuna uzi pia upo humu waweza upitia. Pamoja na huyu mdau kukupa uzoefu wake.Naomba unipe mwanga kidogo ndg maana nna huo mpango wa kulima vitunguu pia
Ok asanteKuna uzi pia upo humu waweza upitia. Pamoja na huyu mdau kukupa uzoefu wake.
Unatoa uoga kwa watu bila maana wewe.mtu alieleta haya maneno hapa nakiishi hicho kilimo wewe unaleta maneno.haya ni madhara ya kukaa chuoni bila kunaribu na kuja mtaani kuzunguka na bahasha kutafuta viti vya kuzungukaFanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Fanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Hata ajira watu wanafukuzwa kaz au kuumia kazini bro everything has risksiko siku utakuja hapahapa kutuambia hakuna biashara mbaya kama ya kilimo note me kila jambo na wakati wake kuna wakati wa kucheka na wakati wa kulia
Mada inatoa ushaur kwa mwanafunz akimaliza chuo anaweza kujiajir kwenye kilimo.
Atajiajiri vip bila kuwa na initial capital?
Usikurupuke kama ulisoma rudi kafunue upya daftar zako na pitia sehemu ambayo mwalimu wako aliweka alama ya vema kama hakuna
Unaweza kwenda qt.
Kama ulisoma mambo ya kicheketile tuuu hapo sawa maana unajifunza na kuamin kwenye maneno ya watu wakale na sio hali ya sasa
Nenda kwa balozi wako atakupa elimu ju uwezaji na biashara
Mkuu achana Na kuwashauri masharobaro wavaa mitepesho ngoja waendelee kula ugali Wa shikamoo!Kulima nilitumia ng'ombe zangu, ila kama ningelinunua basic gharama yake isingelizidi 80,000/= mbolea niliweka ya kupandia tu, nililima ekari mbili sio moja.
We ni kilaza Wa kiwango cha lami hivi hujui watu Wa mijini wanastarehe kwa kunyonya jasho la mkulima!!Watanzania wengi wanaishi vijijini na shughuli yao kubwa ya kiuchumi ni kilimo, karibu theluthi moja ya watanzania ni masikini na sehemu kubwa ya theluthi hii wanaishi vijijini ambako shughuli kubwa ya uchumi ni kilimo.
Kilimo ilikua inaonekana ni kazi za mafukara,sasa hivi kila mtu anakimbilia kulima,magu kabana biashara mjini haziendi km kipindi cha jk.watu sasa wameamua kulima tu.tatizo linakuja wakilima wengi,supply inakua kubwa,demand inashuka,bei inaenda chini.profit inakua ndogo
We ni kilaza Wa kiwango cha lami hivi hujui watu Wa mijini wanastarehe kwa kunyonya jasho la mkulima!!
~Umaskini Wa vijijini unatokana kwa kiasi kikubwa Na Huduma duni za elimu afya umeme Na miundo mbinu~.
We ni kilaza Wa kiwango cha lami hivi hujui watu Wa mijini wanastarehe kwa kunyonya jasho la mkulima!!
Umaskini Wa vijijini unatokana kwa kiasi kikubwa Na Huduma duni za elimu afya umeme Na miundo mbinu.
Tabu zipi hizo nami natamani kulima hasa mahindinatamani sana kulima ila sasa taabu zk balaa
mm nililima mwaka jana matikiti kwani sikufanikiwa kupata kitu zaidi ya matikiti ya machache ya kula home basi ndo niliambulia ndo maana kilimo ni balaa ila sikati tamaa nitaaingia tena kwa upya kulimaTabu zipi hizo nami natamani kulima hasa mahindi
Dah!! Pole sana acha nami nijipangemm nililima mwaka jana matikiti kwani sikufanikiwa kupata kitu zaidi ya matikiti ya machache ya kula home basi ndo niliambulia ndo maana kilimo ni balaa ila sikati tamaa nitaaingia tena kwa upya kulima
Karibu tulimenatamani sana kulima ila sasa taabu zk balaa