Kilimo ni biashara, tumia mbolea bora kwa mazao mengi

Kilimo ni biashara, tumia mbolea bora kwa mazao mengi

Joined
Mar 14, 2014
Posts
90
Reaction score
6
SUPER GRO
*********************
Super gro ni bidhaa ya mimea.
kazi zake:
-inatunza unyevunyevu
-inaimarisha mmea
-inaongeza mavuno yani uzito,wingi na ukubwa
-haibagui mmea
-inafanya kazi kwa mmea wowote
-inapunguza gharama za kilimo hadi nusu
-inaongeza faida
-haibagui udongo
-ni rahisi kutumia
-haina madhara ya kemikali
-Haiwakii moto

*imetengenezwa na vitu asili

*UMWAGILIAJI
kipindi cha kiangazi interval ya siku saba
kipindi cha masika
interval ya siku 14.
Anza kumwagilia siku ya 3 baada ya kupanda then itategemea na msimu ili kujua unamwagilia kwa interval ipi.

-mwagilia mpk mmea ukitoa maua au mbelewele mf. mahindi aftr that acha ili uzae vzr.



*UCHANGANYAJI
-kila 1ml/cc ya super gro itachanganywa na lita moja ya maji

yani 1ml:1lita
10ml:10 lita
20ml: 20 lita

*hivyo dumu 1 linaweza tumika hadi ekari 10-15..
utaokoa gharama za mifuko ya mbolea za chumvichivi mitano.
kwa kutumia supergrow.
kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa
0766789288
 
Back
Top Bottom