Wabike kenedy
New Member
- Jul 17, 2021
- 3
- 0
kilimo kinachangia zaidi ya 27% ya pato la taifa.
kilimo kimetoa ajira kwa zaidi ya watanzania 75%.
pamoja na umuhimu huo kilimo kinachofanyika hakimnufaishi mkulima na kumfanya ajikwamue katka wimbi la umaskini kwa sababu zifuatazo:
1. bei za mazao kua chini.
2. gharama za pembejeo za kilimo kua juu.
3. gharama za usafilishaji kua juu.
hivyo mkulima wa kawaida kila mwaka anapata hasara na kumdidimiza kimaendeleo.
sasa hua najiuliza
1., je mikakati inayopangwa kupunguza umaskini nchini hua sector gan inapewa kipaumbele?
kilimo kimetoa ajira kwa zaidi ya watanzania 75%.
pamoja na umuhimu huo kilimo kinachofanyika hakimnufaishi mkulima na kumfanya ajikwamue katka wimbi la umaskini kwa sababu zifuatazo:
1. bei za mazao kua chini.
2. gharama za pembejeo za kilimo kua juu.
3. gharama za usafilishaji kua juu.
hivyo mkulima wa kawaida kila mwaka anapata hasara na kumdidimiza kimaendeleo.
sasa hua najiuliza
1., je mikakati inayopangwa kupunguza umaskini nchini hua sector gan inapewa kipaumbele?