Usemihuwo una mantiki sana, japo vijana tunajipotezea tujiulize ni kwanini? Wakoloni walikuja kulima mazao mbalimbali,walichukia ardhi yenye rutuba, wakaanzisha propaganda chafu tuchukie kilimo tuamke sasa,kila kitu ni ardhi tuamke sasa
Wazo zuri umefika sasa wakati wa kutatua changa moto mfano sasa hivi mchele wa kyela unalimwa vietinam na ndio nchi ya kwanza ,duniani kwa sasa inayoo uzaa mchele duniani